forked from WA-Catalog/sw_tn
332 B
332 B
vazi la Yusufu
Hii ina maana ya joho zuri ambalo baba yake alimtengenezea.
damu
"damu ya mbuzi"
wakalipeleka
"walileta joho lile"
amemrarua
"amemla"
Yusufu ameraruliwa katika vipande.
Yakobo anadhani ya kwamba mnyama pori amerarua mwili wa Yusufu vipande vipande. "hakika imemchana Yusufu katika vipande vipande"