sw_tn/gen/37/31.md

332 B

vazi la Yusufu

Hii ina maana ya joho zuri ambalo baba yake alimtengenezea.

damu

"damu ya mbuzi"

wakalipeleka

"walileta joho lile"

amemrarua

"amemla"

Yusufu ameraruliwa katika vipande.

Yakobo anadhani ya kwamba mnyama pori amerarua mwili wa Yusufu vipande vipande. "hakika imemchana Yusufu katika vipande vipande"