forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
638 B
Markdown
28 lines
638 B
Markdown
# nchi aliyokaa babaye, katika nchi ya Kanaani
|
|
|
|
"katika nchi ya Kaanani ambapo baba yake aliishi"
|
|
|
|
# Haya ndiyo matukio yaliyomhusu Yakobo
|
|
|
|
Sentensi hii inatambulisha habari ya watoto wa Yakobo katika Mwanzo 37:1-50:26. Hapa "Yakobo" ina maana ya familia yake nzima. "Hii ni habari ya familia ya Yakobo"
|
|
|
|
# umri wa miaka kumi na saba
|
|
|
|
"umri wa miak 17"
|
|
|
|
# Bilha
|
|
|
|
Hili ni jina la mtumishi wa kike wa Raheli.
|
|
|
|
# Zilpa
|
|
|
|
Hili ni jina la mtumishi wa kike wa Lea.
|
|
|
|
# wake
|
|
|
|
"suria". Wanawake hawa walikuwa watumishi wa Lea na Raheli waliopewa kwa Yakobo kumzalia watoto.
|
|
|
|
# akaleta taarifa yao mbaya kuhusu wao
|
|
|
|
"taarifa mbaya kuhusu kaka zake"
|