sw_tn/gen/37/01.md

638 B

nchi aliyokaa babaye, katika nchi ya Kanaani

"katika nchi ya Kaanani ambapo baba yake aliishi"

Haya ndiyo matukio yaliyomhusu Yakobo

Sentensi hii inatambulisha habari ya watoto wa Yakobo katika Mwanzo 37:1-50:26. Hapa "Yakobo" ina maana ya familia yake nzima. "Hii ni habari ya familia ya Yakobo"

umri wa miaka kumi na saba

"umri wa miak 17"

Bilha

Hili ni jina la mtumishi wa kike wa Raheli.

Zilpa

Hili ni jina la mtumishi wa kike wa Lea.

wake

"suria". Wanawake hawa walikuwa watumishi wa Lea na Raheli waliopewa kwa Yakobo kumzalia watoto.

akaleta taarifa yao mbaya kuhusu wao

"taarifa mbaya kuhusu kaka zake"