forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
337 B
Markdown
20 lines
337 B
Markdown
# Seiri
|
|
|
|
Neno la "Seiri" ni jina la mwanamume na nchi.
|
|
|
|
# Mhori
|
|
|
|
Neno la "Mhori" lina maana la kundi la watu.
|
|
|
|
# wakazi wa nchi hiyo
|
|
|
|
walioishi katika nchi ya Seiri, ambayo pia inaitwa Edomu.
|
|
|
|
# Lotani, Shobali, Zibeoni, Ana, Dishoni, Ezeri, na Dishani ... Hori na Hemani
|
|
|
|
Haya ni majina ya wanamume.
|
|
|
|
# Timna
|
|
|
|
Hili ni jina la mwanamke.
|