sw_tn/gen/36/20.md

337 B

Seiri

Neno la "Seiri" ni jina la mwanamume na nchi.

Mhori

Neno la "Mhori" lina maana la kundi la watu.

wakazi wa nchi hiyo

walioishi katika nchi ya Seiri, ambayo pia inaitwa Edomu.

Lotani, Shobali, Zibeoni, Ana, Dishoni, Ezeri, na Dishani ... Hori na Hemani

Haya ni majina ya wanamume.

Timna

Hili ni jina la mwanamke.