forked from WA-Catalog/sw_tn
340 B
340 B
Reueli ... Yeushi, Yalamu, Kora
Haya ni majina ya wana wa Esau.
Nahathi, Zera, Shama, Miza
Haya ni majina ya wana wa Reueli.
katika nchi ya Edomu
Hii ina maana ya kwamba waliishi katika nchi ya Edomu. "walioishi katika nchi ya Edomu"
Basemathi ... Oholibama
Haya ni majina ya wake wa Esau.
Ana
Hili ni jina la mwanamume.