sw_tn/gen/36/17.md

340 B

Reueli ... Yeushi, Yalamu, Kora

Haya ni majina ya wana wa Esau.

Nahathi, Zera, Shama, Miza

Haya ni majina ya wana wa Reueli.

katika nchi ya Edomu

Hii ina maana ya kwamba waliishi katika nchi ya Edomu. "walioishi katika nchi ya Edomu"

Basemathi ... Oholibama

Haya ni majina ya wake wa Esau.

Ana

Hili ni jina la mwanamume.