forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
521 B
Markdown
16 lines
521 B
Markdown
# Mungu akamwambia
|
|
|
|
"Mungu akamwambia Yakobo"
|
|
|
|
# Uwe mwenye kuzaa na kuongezeka
|
|
|
|
Mungu akamwambia Yakobo kuzaa watoto ili kwamba waweze kuwa wengi wao. Neno "kuongezeka" unaelezea jinsi anavyotakiwa "kuzaa".
|
|
|
|
# Taifa na wingi wa mataifa watakujia, na wafalme watatoka miongoni mwa uzao wako
|
|
|
|
Hapa "taifa" na "mataifa" yana maana ya vizazi vya Yakobo ambao wataunda mataifa haya.
|
|
|
|
# Mungu akapanda kutoka
|
|
|
|
Hapa "akapanda kutoka" inatumika kwa sababu Mungu anapoishi inafikiriwa kuwa juu au juu ya dunia. "Mungu akamuacha"
|