sw_tn/gen/35/11.md

521 B

Mungu akamwambia

"Mungu akamwambia Yakobo"

Uwe mwenye kuzaa na kuongezeka

Mungu akamwambia Yakobo kuzaa watoto ili kwamba waweze kuwa wengi wao. Neno "kuongezeka" unaelezea jinsi anavyotakiwa "kuzaa".

Taifa na wingi wa mataifa watakujia, na wafalme watatoka miongoni mwa uzao wako

Hapa "taifa" na "mataifa" yana maana ya vizazi vya Yakobo ambao wataunda mataifa haya.

Mungu akapanda kutoka

Hapa "akapanda kutoka" inatumika kwa sababu Mungu anapoishi inafikiriwa kuwa juu au juu ya dunia. "Mungu akamuacha"