sw_tn/gen/35/09.md

12 lines
416 B
Markdown

# Yakobo alipokuja kutoka Padani Aramu
Inaweza kuwekwa wazi ya kwamba walikuwa Betheli. "Baada ya Yakobo kuondoka Padani Aramu, na wakati alipokuwa Betheli"
# kumbariki
Hapa "kubariki" ina maana ya kutamka baraka maalumu juu ya mtu na kusababisha mambo mazuri kutokea juu ya mtu huyo.
# lakini jina lako halitakuwa Yakobo tena
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "lakini jina lako halitakuwa Yakobo tena"