forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
416 B
Markdown
12 lines
416 B
Markdown
# Yakobo alipokuja kutoka Padani Aramu
|
|
|
|
Inaweza kuwekwa wazi ya kwamba walikuwa Betheli. "Baada ya Yakobo kuondoka Padani Aramu, na wakati alipokuwa Betheli"
|
|
|
|
# kumbariki
|
|
|
|
Hapa "kubariki" ina maana ya kutamka baraka maalumu juu ya mtu na kusababisha mambo mazuri kutokea juu ya mtu huyo.
|
|
|
|
# lakini jina lako halitakuwa Yakobo tena
|
|
|
|
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "lakini jina lako halitakuwa Yakobo tena"
|