forked from WA-Catalog/sw_tn
416 B
416 B
Yakobo alipokuja kutoka Padani Aramu
Inaweza kuwekwa wazi ya kwamba walikuwa Betheli. "Baada ya Yakobo kuondoka Padani Aramu, na wakati alipokuwa Betheli"
kumbariki
Hapa "kubariki" ina maana ya kutamka baraka maalumu juu ya mtu na kusababisha mambo mazuri kutokea juu ya mtu huyo.
lakini jina lako halitakuwa Yakobo tena
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "lakini jina lako halitakuwa Yakobo tena"