forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
773 B
Markdown
20 lines
773 B
Markdown
# Shekemu akamwambia baba yake
|
|
|
|
"Shekemu alimwambia baba yake Dina Yakobo"
|
|
|
|
# Na nione kibari machoni penu, na chochote mtakachoniambia nitatoa
|
|
|
|
Hapa "machoni" ina maana ya fikra na mawazo ya mtu. "Kama utanipa kibali, basi nitakupa chochote utakachokiomba"
|
|
|
|
# mahari
|
|
|
|
Katika baadhi ya tamaduni, ni kawaida kwa mwanamume kutoa fedha, mali, ng'ombe, na zawadi zingine kwa familia ya mwanamke katika kipindi cha ndoa.
|
|
|
|
# Wana wa Yakobo wakamjibu Shekemu na Hamori baba yake kwa hila
|
|
|
|
Nomino inayojitegemea ya "hila" inaweza kuwekwa kama kitenzi cha "kudanganya". "Lakini wana wa Yakobo walimdanganya Shekemu na Hamori walipowajibu"
|
|
|
|
# Shekemu alikuwa amemnajisi Dina
|
|
|
|
Hii ina maana ya kwamba Shekemu aliwavunjia heshima sana na kumuabisha Dina kwa kumlazimisha kulala naye.
|