forked from WA-Catalog/sw_tn
773 B
773 B
Shekemu akamwambia baba yake
"Shekemu alimwambia baba yake Dina Yakobo"
Na nione kibari machoni penu, na chochote mtakachoniambia nitatoa
Hapa "machoni" ina maana ya fikra na mawazo ya mtu. "Kama utanipa kibali, basi nitakupa chochote utakachokiomba"
mahari
Katika baadhi ya tamaduni, ni kawaida kwa mwanamume kutoa fedha, mali, ng'ombe, na zawadi zingine kwa familia ya mwanamke katika kipindi cha ndoa.
Wana wa Yakobo wakamjibu Shekemu na Hamori baba yake kwa hila
Nomino inayojitegemea ya "hila" inaweza kuwekwa kama kitenzi cha "kudanganya". "Lakini wana wa Yakobo walimdanganya Shekemu na Hamori walipowajibu"
Shekemu alikuwa amemnajisi Dina
Hii ina maana ya kwamba Shekemu aliwavunjia heshima sana na kumuabisha Dina kwa kumlazimisha kulala naye.