forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
473 B
Markdown
20 lines
473 B
Markdown
# Hamori akaongea nao
|
|
|
|
"Hamori alizungumza na Yakobo na wanawe"
|
|
|
|
# anampenda binti yenu
|
|
|
|
Hapa neno "anampenda" lina maana ya upendo wa kimahaba kati ya mwanamume na mwanamke. "anampenda na anataka kumuoa"
|
|
|
|
# mpeni kuwa mke wake
|
|
|
|
Katika baadhi ya tamaduni, wazazi huamua watoto wao wataolewa na nani"
|
|
|
|
# Mwoane nasi
|
|
|
|
Kuoana ni kuoa mtu wa jamii, kabila, au dini tofauti. "Ruhusu ndoa kati ya watu wako na wetu"
|
|
|
|
# nchi itakuwa wazi kwa ajili yenu
|
|
|
|
"nchi itakuwa wazi kwako"
|