forked from WA-Catalog/sw_tn
473 B
473 B
Hamori akaongea nao
"Hamori alizungumza na Yakobo na wanawe"
anampenda binti yenu
Hapa neno "anampenda" lina maana ya upendo wa kimahaba kati ya mwanamume na mwanamke. "anampenda na anataka kumuoa"
mpeni kuwa mke wake
Katika baadhi ya tamaduni, wazazi huamua watoto wao wataolewa na nani"
Mwoane nasi
Kuoana ni kuoa mtu wa jamii, kabila, au dini tofauti. "Ruhusu ndoa kati ya watu wako na wetu"
nchi itakuwa wazi kwa ajili yenu
"nchi itakuwa wazi kwako"