sw_tn/gen/32/24.md

620 B

mpaka alfajiri

"mpaka alfajiri"

nyonga

"kiungo cha paja". Hii ni sehemu ambapo mfupa wa juu wa mguu unaungana na nyonga.

Nyonga ya Yakobo ikatenguka alipokuwa akishindana naye

Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Mwanamume alijeruhi nyonga ya Yakobo aliposhindana naye"

kwani kunakucha

"jua litachomoza hivi karibuni"

umenibariki

Hapa "umenibariki" ina maana ya kutamka baraka maalumu juu ya mtu na kusababisha mambo mazuri kutokea kwa huyo mtu.

sitakuacha uende mpaka uwe umenibariki

Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya chanya. "Haiwezekani! Lazima unibariki kwanza, ndipo nitakuacha uondoke"