forked from WA-Catalog/sw_tn
620 B
620 B
mpaka alfajiri
"mpaka alfajiri"
nyonga
"kiungo cha paja". Hii ni sehemu ambapo mfupa wa juu wa mguu unaungana na nyonga.
Nyonga ya Yakobo ikatenguka alipokuwa akishindana naye
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Mwanamume alijeruhi nyonga ya Yakobo aliposhindana naye"
kwani kunakucha
"jua litachomoza hivi karibuni"
umenibariki
Hapa "umenibariki" ina maana ya kutamka baraka maalumu juu ya mtu na kusababisha mambo mazuri kutokea kwa huyo mtu.
sitakuacha uende mpaka uwe umenibariki
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya chanya. "Haiwezekani! Lazima unibariki kwanza, ndipo nitakuacha uondoke"