forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
620 B
Markdown
24 lines
620 B
Markdown
|
# mpaka alfajiri
|
||
|
|
||
|
"mpaka alfajiri"
|
||
|
|
||
|
# nyonga
|
||
|
|
||
|
"kiungo cha paja". Hii ni sehemu ambapo mfupa wa juu wa mguu unaungana na nyonga.
|
||
|
|
||
|
# Nyonga ya Yakobo ikatenguka alipokuwa akishindana naye
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Mwanamume alijeruhi nyonga ya Yakobo aliposhindana naye"
|
||
|
|
||
|
# kwani kunakucha
|
||
|
|
||
|
"jua litachomoza hivi karibuni"
|
||
|
|
||
|
# umenibariki
|
||
|
|
||
|
Hapa "umenibariki" ina maana ya kutamka baraka maalumu juu ya mtu na kusababisha mambo mazuri kutokea kwa huyo mtu.
|
||
|
|
||
|
# sitakuacha uende mpaka uwe umenibariki
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya chanya. "Haiwezekani! Lazima unibariki kwanza, ndipo nitakuacha uondoke"
|