sw_tn/gen/32/19.md

526 B

akatoa maelekezo kwa kundi la pili

"akaamuru kundi la pili"

Mnapaswa pia kusema, 'mtumwa wako Yakobo

Maana zaweza kuwa 1) "Utasema pia, 'Mtumishi wako Yakobo"' au 2) 'Utasema, "Pia, Mtumishi wako Yakobo"'.

nitamtuliza

"Nitamtuliza" au "Nitafanya hasira yake itoweke"

atanipokea

"atanikaribisha kwa upole"

Hivyo zawadi zikatangulia mbele yake

Hapa "zawadi" ina maana ya watumishi kupeleka zawadi zile.

Yeye mwenyewe akakaa

Hapa "mwenyewe" inasisitiza ya kwamba yakobo hakuwenda pamoja na watumishi wake.