forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
526 B
Markdown
24 lines
526 B
Markdown
|
# akatoa maelekezo kwa kundi la pili
|
||
|
|
||
|
"akaamuru kundi la pili"
|
||
|
|
||
|
# Mnapaswa pia kusema, 'mtumwa wako Yakobo
|
||
|
|
||
|
Maana zaweza kuwa 1) "Utasema pia, 'Mtumishi wako Yakobo"' au 2) 'Utasema, "Pia, Mtumishi wako Yakobo"'.
|
||
|
|
||
|
# nitamtuliza
|
||
|
|
||
|
"Nitamtuliza" au "Nitafanya hasira yake itoweke"
|
||
|
|
||
|
# atanipokea
|
||
|
|
||
|
"atanikaribisha kwa upole"
|
||
|
|
||
|
# Hivyo zawadi zikatangulia mbele yake
|
||
|
|
||
|
Hapa "zawadi" ina maana ya watumishi kupeleka zawadi zile.
|
||
|
|
||
|
# Yeye mwenyewe akakaa
|
||
|
|
||
|
Hapa "mwenyewe" inasisitiza ya kwamba yakobo hakuwenda pamoja na watumishi wake.
|