forked from WA-Catalog/sw_tn
363 B
363 B
watu mia nne
"wanamume 400"
alipoogopa
HIi ina maana ya hisia zisizo nzuri ambazo mtu anazo pale anapopata tishio la kudhuriwa kwake au wengine.
kutaabika
"tia wasiwasi" au "kutaabishwa"
kambi moja, ndipo kambi nyingine itakaposalimika
Hapa "kambi" ina maana ya watu. "kuwashambulia watu katika kambi moja, kisha watu wa kambi nyingine watatoroka"