sw_tn/gen/32/06.md

363 B

watu mia nne

"wanamume 400"

alipoogopa

HIi ina maana ya hisia zisizo nzuri ambazo mtu anazo pale anapopata tishio la kudhuriwa kwake au wengine.

kutaabika

"tia wasiwasi" au "kutaabishwa"

kambi moja, ndipo kambi nyingine itakaposalimika

Hapa "kambi" ina maana ya watu. "kuwashambulia watu katika kambi moja, kisha watu wa kambi nyingine watatoroka"