forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
363 B
Markdown
16 lines
363 B
Markdown
|
# watu mia nne
|
||
|
|
||
|
"wanamume 400"
|
||
|
|
||
|
# alipoogopa
|
||
|
|
||
|
HIi ina maana ya hisia zisizo nzuri ambazo mtu anazo pale anapopata tishio la kudhuriwa kwake au wengine.
|
||
|
|
||
|
# kutaabika
|
||
|
|
||
|
"tia wasiwasi" au "kutaabishwa"
|
||
|
|
||
|
# kambi moja, ndipo kambi nyingine itakaposalimika
|
||
|
|
||
|
Hapa "kambi" ina maana ya watu. "kuwashambulia watu katika kambi moja, kisha watu wa kambi nyingine watatoroka"
|