forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
435 B
Markdown
24 lines
435 B
Markdown
# Taarifa ya Jumla:
|
|
|
|
Malaika wa Bwana anaendelea kuzungumza na Yakobo.
|
|
|
|
# Inua macho yako
|
|
|
|
Hii ni namna ya kusema "Tazama juu"
|
|
|
|
# wanaolipanda kundi
|
|
|
|
Hapa "kundi" lina maana ya mbuzi wa kike. "ambao wanawapanda na mbuzi wa kike wa kundi"
|
|
|
|
# Wana milia, madoa na na mabaka
|
|
|
|
"wana milia na madoa"
|
|
|
|
# mahali ulipoitia nguzo mafuta
|
|
|
|
Yakobo alimwaga mafuta juu ya nguzo kuiweka wakfu kwa Mungu.
|
|
|
|
# nchi uliyozaliwa
|
|
|
|
"nchi ambayo ulizaliwa"
|