sw_tn/gen/31/12.md

435 B

Taarifa ya Jumla:

Malaika wa Bwana anaendelea kuzungumza na Yakobo.

Inua macho yako

Hii ni namna ya kusema "Tazama juu"

wanaolipanda kundi

Hapa "kundi" lina maana ya mbuzi wa kike. "ambao wanawapanda na mbuzi wa kike wa kundi"

Wana milia, madoa na na mabaka

"wana milia na madoa"

mahali ulipoitia nguzo mafuta

Yakobo alimwaga mafuta juu ya nguzo kuiweka wakfu kwa Mungu.

nchi uliyozaliwa

"nchi ambayo ulizaliwa"