sw_tn/gen/30/16.md

446 B

kwa tunguja za mwanangu

"kwa bei ya tunguja za mwanangu"

akashika mimba

"akawa mimba"

na kumzalia Yakobo mwana wa tano

"na akazaa mtoto wa kiume wa tano kwa Yakobo"

Mungu amenipa ujira wangu

Mungu kumzawadia Lea inazungumzwa kana kwamba alikuwa bosi anayelipa mshahara kwa mtu anayefanya kazi kwake. "Mungu amenipa stahiki yangu" au "Mungu amenizawadia"

Akamwita jina lake Isakari

"Jina la Isakari lina maana ya "kuna dhawabu"