sw_tn/gen/30/12.md

312 B

Zilpa

Hili ni jina la mtumishi wa kike wa Lea.

akamzalia Yakobo mwana wa pili

"akazaa mtoto wa pili wakiume kwa Yakobo"

Nina furaha!

"Jinsi nilivyobarikiwa!" au "Jinsi nilivyo na furaha!"

mabinti

"wanawake" au "wanawake wadogo"

akamwita jina lake Asheri

"Jina la Asheri lina maana ya "furaha"