sw_tn/gen/30/09.md

428 B

Lea alipoona kwamba

"Lea alipopata ufahamu wa jambo hilo"

akamchukua Zilpa, mjakazi wake, na kumpa Yakobo kama mke wake

"alimpatia Zilpa, mtumishi wake, kwa Yakobo kama mke"

Zilpa

Hili ni jina la mtumishi wa kike wa Lea.

akamzalia Yakobo mwana

"akazaa mtoto wa kiume kwa Yakobo"

Hii ni bahati njema!

"Bahati gani!" au "Bahati gani hii!"

akamwita jina lake Gadi

"Jina la Gadi lina maana ya "mwenye bahati"