forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
428 B
Markdown
24 lines
428 B
Markdown
|
# Lea alipoona kwamba
|
||
|
|
||
|
"Lea alipopata ufahamu wa jambo hilo"
|
||
|
|
||
|
# akamchukua Zilpa, mjakazi wake, na kumpa Yakobo kama mke wake
|
||
|
|
||
|
"alimpatia Zilpa, mtumishi wake, kwa Yakobo kama mke"
|
||
|
|
||
|
# Zilpa
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la mtumishi wa kike wa Lea.
|
||
|
|
||
|
# akamzalia Yakobo mwana
|
||
|
|
||
|
"akazaa mtoto wa kiume kwa Yakobo"
|
||
|
|
||
|
# Hii ni bahati njema!
|
||
|
|
||
|
"Bahati gani!" au "Bahati gani hii!"
|
||
|
|
||
|
# akamwita jina lake Gadi
|
||
|
|
||
|
"Jina la Gadi lina maana ya "mwenye bahati"
|