sw_tn/gen/30/01.md

632 B

Raheli alipoona kwamba hamzalii Yakobo watoto

"Wakati Raheli alipogundua ya kwamba hawezi kupata mimba"

nitakufa

Raheli anatumia ukuzaji kuonyesha jinsi alivyohuzunika ya kuhusu kutopata watoto. "Nitajisikia sina maana yoyote kabisa"

Nipe watoto

"Nisababishie kupata mimba"

Hasira ya Yakobo ikawaka juu ya Raheli

Hasira ya Yakobo inazungumziwa kana kwamba ilikuwa moto. "Yakobo alimkasirikia sana Raheli"

Mimi ni badala ya Mungu, aliyekuzuilia usipate watoto?

Hili ni swali la balagha ambalo Yakobo anatumia kumkaripia Raheli. Inaweza kutafsiriwa kama kauli. "Mimi si Mungu! Mimi siye ninayekuzuia kupata watoto"