forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
632 B
Markdown
20 lines
632 B
Markdown
|
# Raheli alipoona kwamba hamzalii Yakobo watoto
|
||
|
|
||
|
"Wakati Raheli alipogundua ya kwamba hawezi kupata mimba"
|
||
|
|
||
|
# nitakufa
|
||
|
|
||
|
Raheli anatumia ukuzaji kuonyesha jinsi alivyohuzunika ya kuhusu kutopata watoto. "Nitajisikia sina maana yoyote kabisa"
|
||
|
|
||
|
# Nipe watoto
|
||
|
|
||
|
"Nisababishie kupata mimba"
|
||
|
|
||
|
# Hasira ya Yakobo ikawaka juu ya Raheli
|
||
|
|
||
|
Hasira ya Yakobo inazungumziwa kana kwamba ilikuwa moto. "Yakobo alimkasirikia sana Raheli"
|
||
|
|
||
|
# Mimi ni badala ya Mungu, aliyekuzuilia usipate watoto?
|
||
|
|
||
|
Hili ni swali la balagha ambalo Yakobo anatumia kumkaripia Raheli. Inaweza kutafsiriwa kama kauli. "Mimi si Mungu! Mimi siye ninayekuzuia kupata watoto"
|