sw_tn/gen/29/33.md

445 B

Kisha akashika mimba

"Lea akawa mjamzito"

kuzaa mwana

"akazaa mwana wa kiume"

Yahwe amesikia kwamba sipendwi

Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Yahwe amesikia kuwa mme wangu hanipendi"

akamwita Simoni

Jina Simoni linamaanisha "kusikiwa."

mume wangu ataungana nami

"mume wangu atanikumbatia"

nimemzalia wana watatu

"nimezaa wana watatu wa kiume kwa ajili yake"

akaitwa Lawi

Jina Lawi linamaanisha "ambatishwa."