sw_tn/gen/29/28.md

391 B

Yakobo akafanya hivyo, na akatimiza juma la Lea

"Na Yakobo akafanya alichosema Labani, na akamaliza kusherehekea wiki ya harusi ya Lea"

Bilha

Hili ni jina la mtumishi wa kike wa Raheli.

Yakobo akalala na Raheli

Hii ni njia ya ustarabu ya kusema kuwa walikutana kimwili. "Yakobo akamuoa Raheli"

akampenda Raheli

Hii inamaanisha upendo wa kimahaba kati ya mwanamme na mwanamke.