forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
391 B
Markdown
16 lines
391 B
Markdown
|
# Yakobo akafanya hivyo, na akatimiza juma la Lea
|
||
|
|
||
|
"Na Yakobo akafanya alichosema Labani, na akamaliza kusherehekea wiki ya harusi ya Lea"
|
||
|
|
||
|
# Bilha
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la mtumishi wa kike wa Raheli.
|
||
|
|
||
|
# Yakobo akalala na Raheli
|
||
|
|
||
|
Hii ni njia ya ustarabu ya kusema kuwa walikutana kimwili. "Yakobo akamuoa Raheli"
|
||
|
|
||
|
# akampenda Raheli
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha upendo wa kimahaba kati ya mwanamme na mwanamke.
|