sw_tn/gen/29/13.md

420 B

mwana wa dada yake

"mpwa wake"

akamkumbatia

"alimkumbatia"

akambusu

Nyakati za kale Mashariki ya Karibu, ilikuwa kawaida kumsalimu ndugu na busu. Ingawa, inafanywa baina ya wanamume.

Yakobo akamwambia Labani mambo haya yote

"kisha Yakobo alimwambia Labani kila kitu alichomuambia Raheli"

mfupa wangu na nyama yangu

msemo huu una maana zinaoana moja kwa moja. "ndugu yangu" au "mmoja wa familia yangu"