sw_tn/gen/28/16.md

434 B

akaamka katika usingizi

"aliamka kutoka katika usingizi wake"

nyumba ya Mungu ... lango la mbinguni

Msemo wa "lango la mbinguni" linaelezea ya kwamba sehemu hii ni kiingilio cha "nyumba ya Mungu" na "mlango wa mahali Mungu anapoishi"

Hili ni lango la mbinguni

Hii inazungumzia kuhusu mlango ambapo Mungu anaishi kana kwamba ilikuwa ni ufalme halisi ambao ulikuwa na lango ambalo mtu anatakiwa kufungua kuruhusu watu ndani.