forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
434 B
Markdown
12 lines
434 B
Markdown
|
# akaamka katika usingizi
|
||
|
|
||
|
"aliamka kutoka katika usingizi wake"
|
||
|
|
||
|
# nyumba ya Mungu ... lango la mbinguni
|
||
|
|
||
|
Msemo wa "lango la mbinguni" linaelezea ya kwamba sehemu hii ni kiingilio cha "nyumba ya Mungu" na "mlango wa mahali Mungu anapoishi"
|
||
|
|
||
|
# Hili ni lango la mbinguni
|
||
|
|
||
|
Hii inazungumzia kuhusu mlango ambapo Mungu anaishi kana kwamba ilikuwa ni ufalme halisi ambao ulikuwa na lango ambalo mtu anatakiwa kufungua kuruhusu watu ndani.
|