forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
493 B
Markdown
24 lines
493 B
Markdown
# Akaota
|
|
|
|
"Yakobo alipata ndoto"
|
|
|
|
# imewekwa juu ya nchi
|
|
|
|
"chini yake ikigusa ardhini"
|
|
|
|
# ilifika hata mbinguni
|
|
|
|
Hii ina maana ya sehemu ambapo Mungu anaishi.
|
|
|
|
# Tazama
|
|
|
|
Neno la "tazama" hapa linatuamsha kuvuta nadhari kwa taarifa ya kushtukiza inayofuata.
|
|
|
|
# Yahwe amesimama juu yake
|
|
|
|
Maana zaweza kuwa 1) "Yahwe alikuwa amesimama juu ya ngazi" au 2) "Yahwe alikuwa amesima kando na Yakobo"
|
|
|
|
# Abrahamu baba yako
|
|
|
|
Hapa "baba" ina maana ya "babu". "Abrahamu babu yako" au "Abrahamu babu yako"
|