forked from WA-Catalog/sw_tn
493 B
493 B
Akaota
"Yakobo alipata ndoto"
imewekwa juu ya nchi
"chini yake ikigusa ardhini"
ilifika hata mbinguni
Hii ina maana ya sehemu ambapo Mungu anaishi.
Tazama
Neno la "tazama" hapa linatuamsha kuvuta nadhari kwa taarifa ya kushtukiza inayofuata.
Yahwe amesimama juu yake
Maana zaweza kuwa 1) "Yahwe alikuwa amesimama juu ya ngazi" au 2) "Yahwe alikuwa amesima kando na Yakobo"
Abrahamu baba yako
Hapa "baba" ina maana ya "babu". "Abrahamu babu yako" au "Abrahamu babu yako"