sw_tn/gen/28/12.md

493 B

Akaota

"Yakobo alipata ndoto"

imewekwa juu ya nchi

"chini yake ikigusa ardhini"

ilifika hata mbinguni

Hii ina maana ya sehemu ambapo Mungu anaishi.

Tazama

Neno la "tazama" hapa linatuamsha kuvuta nadhari kwa taarifa ya kushtukiza inayofuata.

Yahwe amesimama juu yake

Maana zaweza kuwa 1) "Yahwe alikuwa amesimama juu ya ngazi" au 2) "Yahwe alikuwa amesima kando na Yakobo"

Abrahamu baba yako

Hapa "baba" ina maana ya "babu". "Abrahamu babu yako" au "Abrahamu babu yako"