sw_tn/gen/26/30.md

334 B

Isaka akawaandalia sherehe, na wakala na kunywa

Kula chakula pamoja ilikuwa sehemu ya kufanya agano na mtu mwingine.

akawaandalia

Hapa "akawaandalia" ina maana ya "Abimeleki, Ahuzathi na Fikoli"

wakala

Hapa "wakala" ina maana ya Isaka, Abimeleki, Ahuzathi, na Fikoli. "walikula wote"

Wakaamuka mapema

"Waliamka mapema"