sw_tn/gen/26/28.md

515 B

Nao wakasema

Hii ina maana ya Abimeleki, Ahuzathi na Fikoli. Mmoja wao aliongea na wengine wawili walikubaliana na kile alichosema. Haikumaanisha waliongea kwa wakati mmoja. "mmoja wao alisema"

Tumeona yakini

"Tunajua" au "Tuna uhakika"

Hivyo na tufanye agano

"Kwa hiyo tunataka kufanya agano"

na kama sisi tulivyokutendea vema wewe

Hii inaweza kutafsiriwa kama mwanzo wa sentensi mpya. "Tumetenda mema tu kwako"

umebarikiwa na Yahwe

Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Yahwe amekubariki"