forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
515 B
Markdown
20 lines
515 B
Markdown
|
# Nao wakasema
|
||
|
|
||
|
Hii ina maana ya Abimeleki, Ahuzathi na Fikoli. Mmoja wao aliongea na wengine wawili walikubaliana na kile alichosema. Haikumaanisha waliongea kwa wakati mmoja. "mmoja wao alisema"
|
||
|
|
||
|
# Tumeona yakini
|
||
|
|
||
|
"Tunajua" au "Tuna uhakika"
|
||
|
|
||
|
# Hivyo na tufanye agano
|
||
|
|
||
|
"Kwa hiyo tunataka kufanya agano"
|
||
|
|
||
|
# na kama sisi tulivyokutendea vema wewe
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kutafsiriwa kama mwanzo wa sentensi mpya. "Tumetenda mema tu kwako"
|
||
|
|
||
|
# umebarikiwa na Yahwe
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Yahwe amekubariki"
|