forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
502 B
Markdown
20 lines
502 B
Markdown
# Yakobo akapika
|
|
|
|
Kwa kuwa huu ni mwanzo wa simulizi kuhusu jambo lilitokea kipindi kimoja, baadhi ya watafsiri wanaweza kuanza na msemo wa "Siku moja, Yakobo alipika".
|
|
|
|
# akapika mchuzi
|
|
|
|
"alichemsha chakula kiasi" au "alipika mchuzi kiasi". Mchuzi ulipikwa kwa dengu za kuchemsha.
|
|
|
|
# akiwa dhaifu kutokana na njaa
|
|
|
|
"alikuwa dhaifu kwa sababu alikuwa na njaa sana" au "alikuwa na njaa sana"
|
|
|
|
# nimechoka
|
|
|
|
"Nimechoka kwa sababu ya njaa" au "Nina njaa sana"
|
|
|
|
# Edomu
|
|
|
|
Jina Edomu lina maana ya "nyekundu"
|