forked from WA-Catalog/sw_tn
504 B
504 B
Kisha Rebeka akasimama, yeye na watumishi wake wakawapakia ngamia
"Kisha Rebeka akasimama, yeye na watumishi wake wakawapakia ngamia"
Hivyo watumishi wakamchukua Rebeka, na wakaenda zao
"Katika njia hii mtumishi wa Abrahamu alimchukua Rebeka pamoja naye na kurudi naye mahali alipotoka"
Nyakati hizo
Neno hili linaweka alama ya kubadili simulizi. Ilikuwa inaeleza juu ya mtumishi kutafuta mke, na sasa itaanza kueleza kuhusu Isaka.
Beerlahairoi
Hili ni jina la maji ya kisima kule Negebu.