sw_tn/gen/24/61.md

504 B

Kisha Rebeka akasimama, yeye na watumishi wake wakawapakia ngamia

"Kisha Rebeka akasimama, yeye na watumishi wake wakawapakia ngamia"

Hivyo watumishi wakamchukua Rebeka, na wakaenda zao

"Katika njia hii mtumishi wa Abrahamu alimchukua Rebeka pamoja naye na kurudi naye mahali alipotoka"

Nyakati hizo

Neno hili linaweka alama ya kubadili simulizi. Ilikuwa inaeleza juu ya mtumishi kutafuta mke, na sasa itaanza kueleza kuhusu Isaka.

Beerlahairoi

Hili ni jina la maji ya kisima kule Negebu.