sw_tn/gen/24/59.md

842 B

Kwa hiyo wakampeleka dada yao Rebeka

"Kwa hiyo familia ilimpeleka Rebeka"

dada yao

Rebeka alikuwa dada wa Labani. "ndugu yao" au "dada wa Labani"

mtumishi wake wa kike

Hii ina maana ya mtumishi wa kike ambaye alimlisha Rebeka alipokuwa mtoto mchanga, akamtunza alipokuwa mtoto, na alimtumikia.

Dada yetu

Rebeka hakuwa adad kwa kila mtu katika familia yake. Lakini walimuita kwa jinsi hii kuonyesha walimpenda. "Dada yetu Rebeka"

na uwe mama wa maelfu na wa makumi elfu

Hapa "mama" ina maana ya mama. "na uwe mama wa mamilioni wa watu" au "na uwe na uzao mkubwa"

maelfu na wa makumi elfu

Hii ina maana ya idadi kubwa au idadi isiyohesabika.

uzao wako upate kumiliki lango la wale wanao wachukia

Majeshi huvunja katika malango ya miji ya adui zao na kuwashinda watu. "na uzao wako wawashinde kabisa wale wawachukiao"