forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
842 B
Markdown
28 lines
842 B
Markdown
|
# Kwa hiyo wakampeleka dada yao Rebeka
|
||
|
|
||
|
"Kwa hiyo familia ilimpeleka Rebeka"
|
||
|
|
||
|
# dada yao
|
||
|
|
||
|
Rebeka alikuwa dada wa Labani. "ndugu yao" au "dada wa Labani"
|
||
|
|
||
|
# mtumishi wake wa kike
|
||
|
|
||
|
Hii ina maana ya mtumishi wa kike ambaye alimlisha Rebeka alipokuwa mtoto mchanga, akamtunza alipokuwa mtoto, na alimtumikia.
|
||
|
|
||
|
# Dada yetu
|
||
|
|
||
|
Rebeka hakuwa adad kwa kila mtu katika familia yake. Lakini walimuita kwa jinsi hii kuonyesha walimpenda. "Dada yetu Rebeka"
|
||
|
|
||
|
# na uwe mama wa maelfu na wa makumi elfu
|
||
|
|
||
|
Hapa "mama" ina maana ya mama. "na uwe mama wa mamilioni wa watu" au "na uwe na uzao mkubwa"
|
||
|
|
||
|
# maelfu na wa makumi elfu
|
||
|
|
||
|
Hii ina maana ya idadi kubwa au idadi isiyohesabika.
|
||
|
|
||
|
# uzao wako upate kumiliki lango la wale wanao wachukia
|
||
|
|
||
|
Majeshi huvunja katika malango ya miji ya adui zao na kuwashinda watu. "na uzao wako wawashinde kabisa wale wawachukiao"
|