akasema
"Mtumishi wa Abrahamu akasema"
kwao
"kwa kaka wa Rebeka na mama yake"
msinizuie
"Msinikawize" au "Msinifanye nisubiri"
Yahwe amefanikisha njia yangu
Hapa "njia" ina maana ya safari. "Yahwe amefanya nifanikiwe katika lengo la safari yangu"
Niruhusuni niende
"Niruhusu niondoke"