forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
413 B
Markdown
16 lines
413 B
Markdown
# maneno yao
|
|
|
|
"Maneno ya Labani na Bethueli". Hapa "maneno" ina maana ya kile walichosema. "kile ambacho Labani na Bethueli walisema"
|
|
|
|
# akainama mwenyewe chini
|
|
|
|
Kuinama chini mbele ya Mungu ni ishara ya kumuabudu yeye.
|
|
|
|
# vipande vya fedha na vipande vya dhahabu
|
|
|
|
"vipande vya fedha na dhahabu" au "vitu vilivyotengenezwa kwa fedha na dhahabu"
|
|
|
|
# zawadi zenye thamani
|
|
|
|
"zawadi za gharama" au "zawadi za thamani"
|