sw_tn/gen/24/52.md

413 B

maneno yao

"Maneno ya Labani na Bethueli". Hapa "maneno" ina maana ya kile walichosema. "kile ambacho Labani na Bethueli walisema"

akainama mwenyewe chini

Kuinama chini mbele ya Mungu ni ishara ya kumuabudu yeye.

vipande vya fedha na vipande vya dhahabu

"vipande vya fedha na dhahabu" au "vitu vilivyotengenezwa kwa fedha na dhahabu"

zawadi zenye thamani

"zawadi za gharama" au "zawadi za thamani"