forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
418 B
Markdown
20 lines
418 B
Markdown
# Bethueli
|
|
|
|
Huyu alikuwa baba wa Labani na Rebeka.
|
|
|
|
# Jambo hili limetoka kwa Yahwe
|
|
|
|
"Yahwe alisababisha haya yote kutokea"
|
|
|
|
# hatuwezi kusema kwako aidha neno baya au zuri
|
|
|
|
Wanasema hawana mamlaka ya kuamua kwamba aliyofanya Mungu ni mema au mabaya. "hatuthubutu kuhukumu kile ambacho Yahwe anatenda"
|
|
|
|
# Tazama
|
|
|
|
Neno "tazama" hapa linaongeza msisitizo kwa kile kifuatacho.
|
|
|
|
# Rebeka yu mbele yako
|
|
|
|
"Huyu hapa Rebeka"
|