sw_tn/gen/24/50.md

418 B

Bethueli

Huyu alikuwa baba wa Labani na Rebeka.

Jambo hili limetoka kwa Yahwe

"Yahwe alisababisha haya yote kutokea"

hatuwezi kusema kwako aidha neno baya au zuri

Wanasema hawana mamlaka ya kuamua kwamba aliyofanya Mungu ni mema au mabaya. "hatuthubutu kuhukumu kile ambacho Yahwe anatenda"

Tazama

Neno "tazama" hapa linaongeza msisitizo kwa kile kifuatacho.

Rebeka yu mbele yako

"Huyu hapa Rebeka"