sw_tn/gen/24/36.md

689 B

Taarifa ya Jumla:

Mtumishi wa Abrahamu anaendelea kuzungumza kwa familia ya Rebeka.

alimzalia mwana bwana wangu

"alimzaa mtoto wa kiume"

amempatia ... mwanawe

"bwana wangu amempatia ... kwa mtoto wake wa kiume"

Bwana wangu aliniapisha, akisema

"Bwana wangu amenifanya niape ya kwamba nitafanya kile alichonimabia kufanya. Alisema"

kutoka kwa mabinti wa Wakanaani

Hii ina maana ya wanawake wa Kaanani. "kutoka kwa wanawake wa Kaanani" au "kutoka kwa Wakaanani"

ambao kwao nimefanya makazi

"miongoni mwa wale ninamoishi". Hapa "ninamoishi" ina maana ya Abrahamu na familia yake yotena watumishi wake. "miongoni mwa wale tuishipo"

kwa ndugu zangu

"kwa ukoo wangu"