forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
689 B
Markdown
28 lines
689 B
Markdown
|
# Taarifa ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Mtumishi wa Abrahamu anaendelea kuzungumza kwa familia ya Rebeka.
|
||
|
|
||
|
# alimzalia mwana bwana wangu
|
||
|
|
||
|
"alimzaa mtoto wa kiume"
|
||
|
|
||
|
# amempatia ... mwanawe
|
||
|
|
||
|
"bwana wangu amempatia ... kwa mtoto wake wa kiume"
|
||
|
|
||
|
# Bwana wangu aliniapisha, akisema
|
||
|
|
||
|
"Bwana wangu amenifanya niape ya kwamba nitafanya kile alichonimabia kufanya. Alisema"
|
||
|
|
||
|
# kutoka kwa mabinti wa Wakanaani
|
||
|
|
||
|
Hii ina maana ya wanawake wa Kaanani. "kutoka kwa wanawake wa Kaanani" au "kutoka kwa Wakaanani"
|
||
|
|
||
|
# ambao kwao nimefanya makazi
|
||
|
|
||
|
"miongoni mwa wale ninamoishi". Hapa "ninamoishi" ina maana ya Abrahamu na familia yake yotena watumishi wake. "miongoni mwa wale tuishipo"
|
||
|
|
||
|
# kwa ndugu zangu
|
||
|
|
||
|
"kwa ukoo wangu"
|